Head image
Govt. Logo

Hits 110626 |  5 online

           


KITENGO CHA UGAVI NA MANUNUZI

Madhumuni

Kutoa huduma na kitaalam katika manunuzi, utunzaji na ugawaji wa bidhaa na huduma katika Wizara.

Kazi za Kitengo

  1. Kutoa ushauri kwenye manunuzi ya huduma an bidhaa kwa mujibu wa Sheria ya Manunuzi
  2. Endeleza Mpango wa Manunuzi
  3. Kufanya manunuzi, ugavi, wa bidhaa na huduma
  4. Kusimamia ununuzi wowote na uuzaji wa mali za Wizara kwa njia ya Zabuni isipokuwa usuluhishi na kutunuku zabuni
  5. Kuratibu shughuli za Bodi ya Zabuni ya Wizara
  6. Kutekeleza maamuzi ya Bodi ya Zabuni ya Wizara
  7. Kufanya kazi kama Sekritarieti ya Bodi ya Zabuni ya Wizara
  8. Kuandaa mpango wa Ununuzi na Uuzaji wa mali za Wizara kwa njia ya Zabuni
  9. Kupendekeza ununuzi na uondoshaji wa mali za Wizara kwa utaratibu wa zabuni
  10. Kukagua na kuainisha upungufu wa mahitaji katika Wizara na kutoa tamko kuhusu mahitaji hayo
  11. Kuandaa nyaraka za zabuni kwa ajili wazabuni kushiriki
  12. Kuandaa matangozo ya fursa za zabuni
  13. Kuandaa rasmu za Mikataba
  14. Kutoa mikataba iliyothibitishwa na kusainiwa
  15. Kuandaa na kuhifadhi kumbukumbu za mchakato wa ununuzi na uuzaji wa mali za Wizara
  16. Kuandaa na kutunza orodha au kitabu cha mikataba yote ambayo Wizara imetunuku
  17. Kuandaa taarifa za kila mwezi kwa ajili ya Bodi ya Zabuni ya Wizara
  18. Kuandaa taarifa ya kila robo ya mwaka juu ya utekelezaji wa mpango wa ununuzi na kuwasilisha katika kikao cha menejimenti ya Wizara
  19. Kuratibu kazi za ununuzi na uondoshaji wa mali za serikali katika Idara na vitengo vyote vya Wizara; na
  20. Kuandaa taarifa nyinginezo kadri zitakavyo hitajika muda wowote.

Huduma za Tehama

Barua Pepe

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

ZEMA ZAC DDA IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 2808, Migombani, Zanzibar
Tel.: +255(24)2232474 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2232475 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2232476
Email: info@omkr.go.tz