Head image
Govt. Logo

Hits 110618 |  3 online

           


KITENGO CHA TEKNOLOJIA HABARI NA MIFUMO YA MAWASILIANO

Madhumuni

Kutoa huduma na utaalam kwenye mikakati na malengo ya Wizara kupitia matumizi yenye kiwango na uhakika ya mifumo ya Habari na mwasiliano ndani ya wizara.

Kazi za Kitengo

  1. Kutekeleza sera ya TEHAMA na serikali –mfumo (e-Government strategy);
  2. Kuendeleza kutekeleza na masuala ya TEHAMA pamoja na Sera ya Serikali Mtandao (e-Government Policy) Wizarani
  3. Kuratib uwajishwaji na Uwendelezaji wa mkakati wa Mfumo wa Teknojia ya Habari na Mawasiliano
  4. Kushauri Uongozi wa Ofisi juu ya Matumizi Mazuri ya vifaa vya TEHAMA na PROGRAMU zake
  5. Kuratib maendeleo ya uhifadhi wa program katika kuhakikisha usalama wa Taarifa za ofisi
  6. Kuhakikisha kuwa vifaa vya TEHAMA na programu zake zinatunzwa ipasavyo
  7. Kuratibu na kutoa ushauri wa manunuzi ya vifaa na programu za TEHAMA
  8. Kuanzisha na kuratibu matumizi ya Mawasiliano ya kielekitroniki kwenye Local Area Network (LAN) na Wide Area Network (WAN)
  9. Kufanya utafiti na kushauri maeneo ambayo TEHAMA inaweza kutumika ili iwe chombo cha kuhuisha utoaji wa huduma Wizarani.

Huduma za Tehama

Barua Pepe

Sisi

Mwanzo Kuhusu Sisi Idara Zetu

Viunga Muhimu

ZEMA ZAC DDA IKULU

Mawasiliano

Ofisi Kuu
S.L.P 2808, Migombani, Zanzibar
Tel.: +255(24)2232474 Mhe Waziri



Tel.: +255 (24)2232475 Katibu Mkuu,
Fax: +255 (24)2232476
Email: info@omkr.go.tz